Kito (madini) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 18: | Mstari 18: | ||
{{stub}} |
{{stub}} |
||
[[Category: |
[[Category:madini| ]] |
||
<!-- interwiki --> |
<!-- interwiki --> |
Pitio la 20:13, 9 Septemba 2007
Vito (pia: johari, mawe ya thamani) ni madini adimu na ngumu zinazopendekeza kwa sababu ya rangi yao. Vinapendwa na watu na kutumiwa kama mapambo. Kito chenye thamani kubwa ni almasi.
Mara nyingi vinakatwa, kusuguliwa na kung'arishwa kwa namna mbalimbali na kutumiwa pamoja na metali adili kama dhahabu au fedha kuwa mapambo kama pete, hereni, mkufu au bizimu.
Mifano ya vito ni
Lulu na korali hutajwa wakati mwingine pia kama kito ingawa si minerali asilia lakini dutu inayotengenezwa na wanyama.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |