Tanzanaiti : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
New page: thumb|200px|<center>Kito cha Tanzanaiti katika hali asilia thumb|200px|Tanzanaiti baada ya kukatwa na kung'arishwa '''Tanzanaiti''... |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 19:59, 9 Septemba 2007
Tanzanaiti ni kito chenye rangi ya buluu hadi dhambarau na kijani. Inachimbwa katika kaskazini ya Tanzania.
Tanzanaiti iligunduliwa mara ya kwanza mwaka 1967 katika milima ya Meralani karibu na mji wa Arusha. Kito inapendwa sana kimataifa bei zake zilicheza kati ya dola za Marekani 250 na 500 kwa karati moja (=milligramu 200).
Kikemia ni aina ya madini ya Zoiziti ambayo haina thamani kubwa vile katika maumbo mengine. Lakini tanzanaiti bandia inatengenezwa kwa kupasha moto fuwele za zoiziti ya kawaida zinazobadilika rangi motoni.