Uthai : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.5) (roboti Badiliko: az:Tailand
d r2.7.2) (roboti Badiliko: gd:Dùthaich nan Tàidh
Mstari 129: Mstari 129:
[[gag:Tailand]]
[[gag:Tailand]]
[[gan:泰國]]
[[gan:泰國]]
[[gd:Tài-lann]]
[[gd:Dùthaich nan Tàidh]]
[[gl:Tailandia - ประเทศไทย]]
[[gl:Tailandia - ประเทศไทย]]
[[gu:થાઇલેન્ડ]]
[[gu:થાઇલેન્ડ]]

Pitio la 23:09, 27 Februari 2012

Uthai

Uthai (pia: Siam, Thailand, Tailandi, Thailandi, Tailendi) ni ufalme katika Asia ya Kusini-Magharibi. Imepakana na Laos, Kambodia, Malaysia na Myanmar. Ina pwani la Ghuba ya Uthai ya Bahari ya Kusini ya China upande wa kusini na Bahari Hindi upande wa magharibi. Nchi iliitwa rasmi Siam (สยาม) hadi 1939 na tena kati ya 1945 1949. Neno Thai (ไทย) lamaanisha "uhuru" kwa Kithai ni pia jina la kundi kubwa nchini ambao ni Wathai.

Mji mkuu ni Bangkok.

Wathai walio wengi hufuata dini la Ubuddha. Katika kusini mpakana ni Malaysia kuna Waislamu.

Tangu 19 Septemba 2006 nchi imetawaliwa na kamati ya jeshi. Jeshi ilipindua serikali ya waziri mkuu Thaksin Shinawatra bila kumwaga damu. Viongozi wa kijeshi walipatana na mfalme ya kwamba wataandaa uchaguzi mpya.

Tazama pia

Viungo vya Nje

  1. en: The United States CIA website
  2. en:Thailand travel dictionary
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Uthai kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA