Ernst Boris Chain : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.5.1) (roboti Nyongeza: eo:Ernst Boris Chain
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: tr:Ernst Boris Chain
Mstari 40: Mstari 40:
[[simple:Ernst Chain]]
[[simple:Ernst Chain]]
[[sv:Ernst Boris Chain]]
[[sv:Ernst Boris Chain]]
[[tr:Ernst Boris Chain]]
[[uk:Ернст Боріс Чейн]]
[[uk:Ернст Боріс Чейн]]
[[vi:Ernst Boris Chain]]
[[vi:Ernst Boris Chain]]

Pitio la 18:40, 23 Februari 2012

Ernst Boris Chain (19 Juni, 190612 Agosti, 1979) alikuwa daktari kutoka nchi ya Ujerumani. Kwa vile alikuwa Myahudi alihamia nchi wa Uingereza wakati wa Adolf Hitler kupokea utawala wa Ujerumani. Chain hasa alichunguza viua vijasumu. Mwaka wa 1945, pamoja na Alexander Fleming na Howard Walter Florey alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba. Mwaka wa 1969 alipewa cheo cha "Sir".

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ernst Boris Chain kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.