Ijumaa Kuu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: mk:Великпеток |
d r2.7.1) (roboti Ondoa: et:Suur reede |
||
Mstari 46: | Mstari 46: | ||
[[eo:Granda vendredo]] |
[[eo:Granda vendredo]] |
||
[[es:Viernes Santo]] |
[[es:Viernes Santo]] |
||
[[et:Suur reede]] |
|||
[[eu:Ostiral Santu]] |
[[eu:Ostiral Santu]] |
||
[[fa:جمعه نیک]] |
[[fa:جمعه نیک]] |
Pitio la 04:08, 21 Februari 2012
Ijumaa Kuu ni siku ya mwaka ambayo wafuasi wengi wa Yesu Kristo wanaadhimisha kifo chake msalabani ambacho kilitokea nje ya kuta za mji wa Yerusalemu siku ya Ijumaa.
Kadiri ya Mtume Yohane kesho yake ilikuwa Sabato na pia Pasaka, jambo lisilotokea kwa kawaida. Kwa sababu hiyo wataalamu mbalimbali wanakadiria ilikuwa tarehe 7 Aprili 30.
Ijumaa kuu ni sehemu ya Juma Kuu linaloanza kwa adhimisho la Yesu kuingia mji huo akishangiliwa kama mfalme wa Wayahudi (yaani Masiya au Kristo). Adhimisho hilo linafanyika mwanzoni mwa wiki, yaani Jumapili ya matawi.
Ijumaa kuu ni pia sehemu ya siku tatu kuu za Pasaka zinazoadhimisha mateso na kifo chake, kulala kaburini, na hatimaye kufufuka kwa utukufu.
Viungo vya nje
- Commentary on Luke's account of the trial and death of Jesus from InterVarsity Press
- Good Friday on RE:Quest
- The Eastern Orthodox commemoration of Holy Friday
- Great Friday instructions from S. V. Bulgakov's Handbook for Church Servers (Russian Orthodox Church)
- "Good Friday" article from The Catholic Encyclopedia
- Good Friday Celebrations
- Episcopal Good Friday Service
- Presbyterian Good Friday Service
- Good Friday hymns at St-Takla.org (Coptic Orthodox Church)
- The Text This Week: Good Friday