Ijumaa Kuu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: mk:Великпеток
d r2.7.1) (roboti Ondoa: et:Suur reede
Mstari 46: Mstari 46:
[[eo:Granda vendredo]]
[[eo:Granda vendredo]]
[[es:Viernes Santo]]
[[es:Viernes Santo]]
[[et:Suur reede]]
[[eu:Ostiral Santu]]
[[eu:Ostiral Santu]]
[[fa:جمعه نیک]]
[[fa:جمعه نیک]]

Pitio la 04:08, 21 Februari 2012

Ijumaa Kuu ni siku ya mwaka ambayo wafuasi wengi wa Yesu Kristo wanaadhimisha kifo chake msalabani ambacho kilitokea nje ya kuta za mji wa Yerusalemu siku ya Ijumaa.

Kadiri ya Mtume Yohane kesho yake ilikuwa Sabato na pia Pasaka, jambo lisilotokea kwa kawaida. Kwa sababu hiyo wataalamu mbalimbali wanakadiria ilikuwa tarehe 7 Aprili 30.

Ijumaa kuu ni sehemu ya Juma Kuu linaloanza kwa adhimisho la Yesu kuingia mji huo akishangiliwa kama mfalme wa Wayahudi (yaani Masiya au Kristo). Adhimisho hilo linafanyika mwanzoni mwa wiki, yaani Jumapili ya matawi.

Ijumaa kuu ni pia sehemu ya siku tatu kuu za Pasaka zinazoadhimisha mateso na kifo chake, kulala kaburini, na hatimaye kufufuka kwa utukufu.

Icon of the Crucifixion, 16th century, by Theophanes the Cretan (Stavronikita Monastery, Mount Athos).
Communion from the Blessed Sacrament on Good Friday (Our Lady of Lourdes, Philadelphia).
The Way of the Cross, celebrated at the Colosseum in Rome on Good Friday.
El Greco's Jesus Carrying the Cross, 1580.
Good Friday cross from the Catholicon at Holy Trinity Monastery, Meteora, Greece.
The epitaphios ("winding sheet"), depicting the preparation of the body of Jesus for burial.
The Epitaphios being carried in procession.

Viungo vya nje