Lugha za Kisemiti : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: dsb:Semitiske rěcy
Mstari 32: Mstari 32:
[[da:Semitiske sprog]]
[[da:Semitiske sprog]]
[[de:Semitische Sprachen]]
[[de:Semitische Sprachen]]
[[dsb:Semitiske rěcy]]
[[el:Σημιτικές γλώσσες]]
[[el:Σημιτικές γλώσσες]]
[[en:Semitic languages]]
[[en:Semitic languages]]

Pitio la 23:22, 16 Februari 2012

Maneneo penye wasemaji wengi wa lugha za Kisemiti

Lugha za Kisemiti ni kundi la lugha zinazozungumzwa na watu milioni 300 hivi katika Asia ya Magharibi, Afrika ya Kaskazini na Afrika ya Mashariki. Zinahesabiwa kama tawi la lugha za Kiafrika-Kiasia.

Lugha za Kisemiti leo

Lugha yenye wasemaji wengi ni Kiarabu. Wasemaji wengine wengi ni wale wanaotumia lugha za Ethiopia na Eritrea halafu Israel. Lugha hai za kisemiti ni pamoja na:

Lugha za kihistoria

Kuna idadi kubwa ya lugha za Kisemiti zinazojulikana kama lugha za kihistoria zisizo na wasemaji tena. Kati ya lugha hizi ni lugha za Babeli, Ashur, Kanaan, Moabu, Finisia na kwa jumla lugha za mataifa mengi zinazotajwa katika Biblia.