Ghuba ya Bengali : Tofauti kati ya masahihisho
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: af:Golf van Bengale |
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: my:ဘင်္ဂလားပင်လယ်အော် |
||
Mstari 62: | Mstari 62: | ||
[[mr:बंगालचा उपसागर]] |
[[mr:बंगालचा उपसागर]] |
||
[[ms:Teluk Bengal]] |
[[ms:Teluk Bengal]] |
||
[[my:ဘင်္ဂလားပင်လယ်အော်]] |
|||
[[nl:Golf van Bengalen]] |
[[nl:Golf van Bengalen]] |
||
[[nn:Bengalbukta]] |
[[nn:Bengalbukta]] |
Pitio la 11:38, 16 Februari 2012
Ghuba ya Bengali ni hori kubwa ya Bahari Hindi kati ya Bara Hindi, Rasi ya Malay na Sri Lanka yenye umbo la pembetatu. Jina la Bengal limetokana na jimbo la Bengali ya Magharibi katika Uhindi na nchi ya Bangladesh. Bahari ya Andamani inahesabiwa wakati mwingine kuwa sehemu ya ghuba ya Bengal lakini mara nyingi hutazamiwa kama gimba la maji la pekee.
Nchi jirani
Nchi zinazopakana na ghuba ni Sri Lanka, Uhindi, Bangladesh na Myanmar. Kama Bahari ya Andamani inahesabiwa kuwa sehemu ya ghuba hata nchi za Uthai na Indonesia zinapaswa kutajwa hapa.
Mito inayoishia humo
Mito mikubwa ya Bara Hindi inayoishia katika Ghuba ya Bengali ni: mto Ganga, mto Meghna, mto Brahmaputra, mto Godavari, mto Krishna na mto Kaveri.
Mto Ayeyarwady wa Myanmar unaishia pia katika ghuba hii.
Mabandari
Mabandari muhimu kwenye ghuba ni:
- katika Bangladesh: Chittagong na Mongla
- katika Uhindi: Chennai (zamani Madras), Vishakhapatnam, Kolkata (zamani Calcutta) na Pondicherry