Wasuni : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.5) (roboti Badiliko: ps:سني اسلام
d r2.7.2+) (roboti Nyongeza: my:ဆွန်နီမူဆလင်
Mstari 75: Mstari 75:
[[mr:सुन्नी इस्लाम]]
[[mr:सुन्नी इस्लाम]]
[[ms:Ahli Sunah Waljamaah]]
[[ms:Ahli Sunah Waljamaah]]
[[my:ဆွန်နီမူဆလင်]]
[[nl:Soennisme]]
[[nl:Soennisme]]
[[nn:Sunniislam]]
[[nn:Sunniislam]]

Pitio la 21:22, 11 Februari 2012

Nchi za Waislamu wengi na madhehebu
Kibichi: Wasunni wengi; Nyekundu: Washia wengi

Wasunni ni dhehebu kubwa ndani ya dini ya Uislamu. Takriban asilimia 80 - 90 za Waislamu wote duniani hukadiriwa kuwa Wasunni na wengine 10-20 % huhesabiwa kati ya Washia.

Wasunni huitwa kwa Kiarabu ahl ul-sunna (Kiarabu: أهل السنة; "watu wa mapokeo"). Neno Sunni hutokea kutoka kwa neno sunna (Kiarabu : سنة ) inayomaanisha mapokeo ya Mtume Muhammad.

Isipokuwa Uajemi, Iraki, Bahrain, Azebaijan, Yemen, Omani na Lebanoni kundi kundi kubwa katika nchi zote penye Waislamu wengi.

Historia

Wasunni hufuata mwelekeo wa Uislamu ulioanzishwa na ukhalifa wa Abu Bakr na kutokubali uongozi wa familia ya Mtume Muhammad kupitia Ali, Hassan na Husain.

Madhehebu ya Wasunni

Kati ya Wasunni kuna madhehebu nne zinazotofautiana kiasi kuhusu mafundisho ya sharia au sheria ya kidini ya Kiislamu. Ndio Wahanafi, Wamaliki, Washafii na Wahanbali. Kwa jumla Wasunni hukubaliana ya kwamba madhehebu haya yote manne ni sawa.

Walimu wengine hasa katika kikundi cha Wawahabi kilichoanzishwa kati ya Wahanbali kimekaza mafundisho yake hadi kuwashtaki wengine kuwa si Waislamu wa kweli.


Viungo vya Nje