Samueli I : Tofauti kati ya masahihisho
d Bot: Simplifying links ([link|linktext] → [link]text) |
d r2.7.2+) (roboti Nyongeza: fa:کتابهای سموئیل |
||
Mstari 28: | Mstari 28: | ||
[[eo:1-a libro de Samuel]] |
[[eo:1-a libro de Samuel]] |
||
[[es:I Samuel]] |
[[es:I Samuel]] |
||
[[fa:کتابهای سموئیل]] |
|||
[[fi:Ensimmäinen Samuelin kirja]] |
[[fi:Ensimmäinen Samuelin kirja]] |
||
[[fr:Premier livre de Samuel]] |
[[fr:Premier livre de Samuel]] |
Pitio la 11:56, 10 Februari 2012
Kitabu cha kwanza cha Samueli kilikuwa sehemu ya kwanza ya Kitabu cha Samweli katika Tanakh (yaani Biblia ya Kiebrania) kabla hakijagawiwa pande mbili kutokana na ukubwa wake.
Kuanzia tafsiri ya kwanza (ya Kigiriki) inayojulikana kama Septuaginta na katika Agano la Kale la Biblia ya Kikristo kinahesabiwa kama kitabu kinachojitegemea.
Hata hivyo mada yake na ya Kitwabu cha pili ni moja: kueleza habari za mwanzo wa ufalme wa Israeli chini ya Samueli aliyewapaka mafuta awaweke wakfu mfalme Sauli halafu mfalme Daudi.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
Kwa habari zaidi tazama Vitabu vya Samweli.
Viungo vya nje
Mwanzo * Kutoka * Walawi * Hesabu * Kumbukumbu * Yoshua * Waamuzi * Ruthu * Samueli I * Samueli II * Wafalme I * Wafalme II * Mambo ya Nyakati I * Mambo ya Nyakati II * Ezra * Nehemia * TobitiDK * YudithiDK * Esta * Wamakabayo IDK * Wamakabayo IIDK * Yobu * Zaburi * Methali * Mhubiri * Hekima DK * SiraDK * Wimbo Bora * Isaya * Yeremia * Maombolezo * BarukuDK * Ezekieli * Danieli * Hosea * Yoeli * Amosi * Obadia * Yona * Mika * Nahumu * Habakuki * Sefania * Hagai * Zekaria * Malaki
Alama ya DK inaonyesha vitabu vya deuterokanoni visivyopatikana katika matoleo yote ya Biblia.