Rhine Kaskazini-Westfalia : Tofauti kati ya masahihisho
d r2.6.4) (roboti Badiliko: rm:Rain dal Nord-Vestfalia |
d r2.7.1) (roboti Badiliko: zh:北莱茵-威斯特法伦 |
||
Mstari 169: | Mstari 169: | ||
[[war:Nordrhein-Westfalen]] |
[[war:Nordrhein-Westfalen]] |
||
[[yo:North Rhine-Westphalia]] |
[[yo:North Rhine-Westphalia]] |
||
[[zh:北莱茵 |
[[zh:北莱茵-威斯特法伦]] |
||
[[zh-min-nan:Nordrhein-Westfalen]] |
[[zh-min-nan:Nordrhein-Westfalen]] |
Pitio la 04:46, 9 Februari 2012
Rhine Kaskazini-Westfalia (Kijerumani: Nordrhein-Westfalen, NRW) ni moja kati ya majimbo makuu ya nchini Ujerumani. Jimbo hili ndilo linaongoza kwa kuwa na idadi ya watu wengi katika Ujerumani. Lipo katika sehemu magharibi mwa Ujerumani na idadi ya wakazi ni takriban 18,033,000 waishio katika Jimbo hili. Mji wake mkuu ni Düsseldorf.
Wilaya za Rhine Kaskazini-Westfalia
Rhine Kaskazini - Westfalia imegawanyika katika sehemu tano: mikoa ya kiserikani:
Historia ya Rhine Kaskazini-Westfalia
Jimbo jinsi lilivyo lilianzishwa 1946/47 na Waingereza walipotawala sehemu ya Ujerumani baada ya vita kuu ya pili ya dunia. Serikali ya kijeshi ya Kiingereza kwa Ujerumani iliunganisha 1946 mikoa miwili ya Prussia kuwa jimbo jipya baada ya kufutwa kwa Prussia yenyewe iliyowahi kuwa jimbo kubwa kabisa katika Ujerumani. Mikoa hii ya Kiprussia ya awali ilikuwa Westfalia na sehemu ya kaskazini ya mkoa wa Rhine. Washindi wa vita kuu waliwahi kugawa mkoa wa Rhine na kaskazini iliwekwa chini ya Uingereza lakini kusini chini ya utawala wa Ufaransa. Maungano ya Westfalia na Rhine-Kaskazini yalipanushwa 1947 kwa kuingiza mle jimbo la awali la Lippe. Jimbo jipya kilichokuwa kiumbe cha Waingereza kilikuwa kati ya majimbo 10 yaliyoanzisha 1949 Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani.
- 1807-1813 — Westphalia ni ufalme.
- 1817 — Westphalia imekuwa mkoa wa Prussia.
- 1824 — Jülich, Kleve, Berg and Niederrhein imeungana na Mkoa wa Rhine.
- 1919 — Ubelgiji wameichukua Eupen na Malmedy.
- 1946 — Mkoa wa Rhine, Westphalia na Lippe-Detmold imeungana na kuwa North Rhine-Westphalia.
Miji ya Rhine Kaskazini-Westfalia
Viungo vya Nje
- Nordrhein-Westfalen (Kijerumani) (Kiingereza) (Kifaransa) (Kiholanzi)
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Rhine Kaskazini-Westfalia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Baden-Württemberg • Bavaria (Bayern) • Berlin • Brandenburg • Bremen • Hamburg • Hesse (Hessen) • Mecklenburg-Pomerini Magharibi (Mecklenburg-Vorpommern) • Saksonia Chini (Niedersachsen) • Rhine Kaskazini-Westfalia (Nordrhein-Westfalen) • Rhine-Palatino (Rheinland-Pfalz) • Saar (Saarland) • Saksonia (Sachsen) • Saksonia-Anhalt (Sachsen-Anhalt) • Schleswig-Holstein • Thuringia (Thüringen) |