Waraka wa kwanza kwa Wakorintho : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: lv:Pāvila 1. vēstule korintiešiem
Mstari 28: Mstari 28:


[[Category: Vitabu vya Agano Jipya|Kor 1]]
[[Category: Vitabu vya Agano Jipya|Kor 1]]

[[vep:1. kirjaine korinfalaižile]]


[[ar:الرسالة الأولى إلى أهل كورنثوس]]
[[ar:الرسالة الأولى إلى أهل كورنثوس]]
Mstari 60: Mstari 62:
[[lmo:Prima letera ai Curinz]]
[[lmo:Prima letera ai Curinz]]
[[lt:Pirmasis laiškas korintiečiams]]
[[lt:Pirmasis laiškas korintiečiams]]
[[lv:Pāvila 1. vēstule korintiešiem]]
[[mk:Прво послание до Коринќаните]]
[[mk:Прво послание до Коринќаните]]
[[ml:കോറിന്തോസുകാർക്ക് എഴുതിയ ഒന്നാം ലേഖനം]]
[[ml:കോറിന്തോസുകാർക്ക് എഴുതിയ ഒന്നാം ലേഖനം]]
Mstari 84: Mstari 87:
[[ug:كورىنتلىقلارغا يېزىلغان بىرىنچى خەت]]
[[ug:كورىنتلىقلارغا يېزىلغان بىرىنچى خەت]]
[[uk:1-е послання до коринтян]]
[[uk:1-е послання до коринтян]]
[[vep:1. kirjaine korinfalaižile]]
[[vi:Thư thứ nhất gửi tín hữu Côrintô]]
[[vi:Thư thứ nhất gửi tín hữu Côrintô]]
[[wo:1 Korent]]
[[wo:1 Korent]]

Pitio la 23:20, 8 Februari 2012

Agano Jipya


Barua ya kwanza kwa Wakorintho ni kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.

Mazingira

Kutoka Korintho (Ugiriki) habari za kusikitisha zilimfikia Mtume Paulo akiwa Efeso (pengine mwaka 57): katika Kanisa kulikuwa na shaka kuhusu imani, mafarakano, upinzani wa Wakristo wa Kiyahudi dhidi yake, na makwazo.

Basi mwaka mzima akawa na mahangaiko kwa wafuasi wake wa Korintho akawaandikia walau barua nne au tano, ingawa sisi tunazo mbili tu; pengine sehemu za baadhi yake zimeshonwa ndani ya 2Kor.

Mpangilio

Mpangilio wa barua ya kwanza una salamu na shukrani, halafu hukumu juu ya matatizo ya Wakristo hasa kufarakana (1Kor 1:10-16; 2:1-4:16), kuzini na kushtakiana mahakamani (1Kor 5-6).

Baada ya hapo akaanza kujibu maswali yao mbalimbali: kuhusu ndoa na useja (1Kor 7), nyama zilizotolewa sadaka kwa miungu (1Kor 8:1-11:1), mwenendo katika ibada na karama (1Kor 11:20-33; 12:4-13:13; 14:18-40), na hatimaye ufufuko wa wafu (1Kor 15:1-28,33-49).

Mwishoni kuna maagizo, taarifa na salamu mbalimbali (1Kor 16:1-4).

Madondoo muhimu

Kati ya mambo mengi muhimu, barua hiyo inatunza simulizi la kwanza la karamu ya mwisho ya Bwana Yesu (11:23-25) na kanuni ya imani ya kwanza inayoorodhesha pia matokeo ya Yesu Kristo Mfufuka (15:3-8).

Kiungo cha nje

  • [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili