Washington (maana) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.5.2) (roboti Badiliko: sv:Washington (olika betydelser) |
d r2.6.5) (roboti Badiliko: ms:Washington |
||
Mstari 66: | Mstari 66: | ||
[[mk:Вашингтон (појаснување)]] |
[[mk:Вашингтон (појаснување)]] |
||
[[mn:Вашингтон (салаа утга)]] |
[[mn:Вашингтон (салаа утга)]] |
||
[[ms:Washington |
[[ms:Washington]] |
||
[[nds:Washington]] |
[[nds:Washington]] |
||
[[nl:Washington]] |
[[nl:Washington]] |
Pitio la 13:23, 4 Februari 2012
Washington ni jina linalotaja mahali na watu mbalimbali duniani.
Jina limejulikana hasa kutokana na
- Washington D.C. ambayo ni mji mkuu wa Marekani
- George Washington aliyekuwa rais wa kwanza wa nchi ile
- Washington (jimbo) ni jimbo la Marekani kando la Pasifiki.
Miji
- Washington (Tyne and Wear) nchini Uingereza (mahali walikotoka mababu wa rais George Washington)
- miji inayoitwa Washington katika Argentina, Aruba, Bolivia, Kanada, Kolombia, Kuba, Jamhuri ya Dominika, Guyana, Eire, Nikaragua, Ufilipino, Afrika Kusini, Jamaika, Brazil
- miji 40 inayoitwa Washington katika Marekani
- wilaya 31 zinazoitwa Washington nchini Marekani
Watu
- Washington imetumika kama jina la kwanza pia jina la familia
Vingine
Kuna pia meli, vyuo, barabara, milima na visiwa vinavyoitwa kwa jina hilo.