Paraguay : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (roboti Badiliko: ne:पाराग्वे
d r2.6.5) (roboti Nyongeza: or:ପାରାଗୁଏ
Mstari 177: Mstari 177:
[[nov:Paraguay]]
[[nov:Paraguay]]
[[oc:Paraguai]]
[[oc:Paraguai]]
[[or:ପାରାଗୁଏ]]
[[os:Парагвай]]
[[os:Парагвай]]
[[pam:Paraguay]]
[[pam:Paraguay]]

Pitio la 18:53, 3 Februari 2012

Paraguay
Ramani ya Paraguay
Nyumba mjini Asuncion

Paraguay (pia: Paragwai) ni nchi ya Amerika Kusini isiyo na pwani la bahari. Imepakana na Argentina, Brazil na Bolivia. Jina la 'Paraguay' limetokana na lugha ya Kiguarani lamaanisha 'kutoka mto mkubwa'. Mto huu mkubwa ni Parana.

Mji mkuu ni Asuncion iliyoundwa mwaka 1537 na Mhispania Juan de Salazar. Paraguay ikuwa koloni ya Hispania ikapata uhuru wake mwaka 1811.

Viungo vya nje

Nchi na maeneo ya Amerika Kusini

Argentina | Bolivia | Brazil | Chile | Ekuador | Guyana | Guyani ya Kifaransa | Kolombia | Paraguay | Peru | Surinam | Uruguay | Venezuela

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika Kusini bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Paraguay kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.