Kisotho-Kusini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Badiliko: es:Idioma sesotho, it:Lingua sotho del sud
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: xmf:სოტო ნინა
Mstari 49: Mstari 49:
[[vi:Tiếng Sotho]]
[[vi:Tiếng Sotho]]
[[xh:IsiSotho]]
[[xh:IsiSotho]]
[[xmf:სოტო ნინა]]
[[yo:Èdè Southern Sotho]]
[[yo:Èdè Southern Sotho]]
[[zh:塞索托语]]
[[zh:塞索托语]]

Pitio la 12:22, 3 Februari 2012

Kisotho-Kusini ni lugha ya Kibantu nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Wasotho. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisotho-Kusini nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu 4,240,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisotho-Kusini kiko katika kundi la S30.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kisotho-Kusini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.