Paka-kaya : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: nah:Miztōn
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: bcl:Ikos
Mstari 54: Mstari 54:
[[bar:Katz]]
[[bar:Katz]]
[[bat-smg:Katie]]
[[bat-smg:Katie]]
[[bcl:Ikos]]
[[be:Кот свойскі]]
[[be:Кот свойскі]]
[[be-x-old:Кот]]
[[be-x-old:Кот]]

Pitio la 07:06, 31 Januari 2012

Paka-kaya
Paka-kaya
Paka-kaya
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele)
Oda: Carnivora (Wanyama mbua)
Nusuoda: Feliformia (Wanyama kama paka)
Familia: Felidae (Wanyama walio na mnasaba na paka)
Nusufamilia: Felinae (Wanyama wanaofanana na paka)
Jenasi: Felis
Spishi: Felis silvestris
Nususpishi: Felis s. catus
(Linnaeus, 1758)

Paka-kaya ni mnyama mdogo alaye nyama na ambaye amefugwa na binadamu tangu miaka maelfu. Paka ni sehemu ya familia ya Felidae wanaojumlisha paka pamoja na gwagu (paka wa porini) na felidae wakubwa kama simba, chui na duma.

Asili ya paka ni paka za porini walioanza kutafuta chakula karibu na makazi ya watu wa kale na kuwazoea. Watu walipenda paka kwa sababu paka hushika panya na wanyama wengine wadogo wanaoonekana ni waharibifu katika makazi ya watu. Kwa hiyo paka waliendelea kwa muda mrefu katika mazingira ya kibinadamu kama wawindaji wa panya waliolishwa na watu wakipewa mabaki ya chakula pia. Katika mazingira ya mjini paka hufugwa mara nyingi kama mnyama kipenzi hapati tena nafasi ya kuwinda.

Paka na panya

Viungo vya nje

Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA