Vipimo sanifu vya kimataifa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: tt:СИ
Mstari 72: Mstari 72:
[[ml:അന്താരാഷ്ട്ര ഏകകവ്യവസ്ഥ]]
[[ml:അന്താരാഷ്ട്ര ഏകകവ്യവസ്ഥ]]
[[mn:Олон улсын нэгжийн систем]]
[[mn:Олон улсын нэгжийн систем]]
[[mr:आंतरराष्ट्रीय गणना पद्धती]]
[[ms:Sistem Unit Antarabangsa]]
[[ms:Sistem Unit Antarabangsa]]
[[my:အပြည်ပြည်ဆိုင်ရာ ယူနစ် စနစ်]]
[[my:အပြည်ပြည်ဆိုင်ရာ ယူနစ် စနစ်]]

Pitio la 14:06, 26 Januari 2012

Vipimo sanifu vya kimataifa (Kifar.: Système International d'unités; kifupi chake: SI) ni utaratibu uliokubaliwa kimataifa kwa kuwa na vizio vya upimaji vya pamoja duniani. Maendeleo na matumizi ya utaratibu huo huangaliwa na Ofisi ya Kimataifa ya Vipimo.

Msingi wa utaratibu huu ni mita. Vizio vingine ni vya urefu (mita), masi (kilogramu), wakati (sekondi), mkondo wa umeme (ampea), halijoto (kelvini), kiasi cha dutu (moli), mwangaza au ukalifu nunurikaji (kandela).

Vipimo hivi hutumika na wanasayansi duniani. Katika maisha ya kawaida kuna vipimo mbalimbali vinavyoweza kuwa tofauti kati ya nchi na nchi.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA