Mkoa wa Hormozgan : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Hormozgan''' (kaj ‏ هرمزگان‎) ni moja kati ya mikoa 31 ya Uajemi. Makao makuu yako mjini Bandar Abbas. Mkoa huwa na wakazi 1,403,674 ...'
 
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:Hormozgan in Iran.svg|thumb|250px|Mahali pa mkoa wa Hormozgan katika Uajemi]]
'''Hormozgan''' ([[kaj]] ‏ هرمزگان‎) ni moja kati ya mikoa 31 ya [[Uajemi]]. Makao makuu yako mjini [[Bandar Abbas]].
'''Hormozgan''' ([[kaj]] ‏ هرمزگان‎) ni moja kati ya mikoa 31 ya [[Uajemi]]. Makao makuu yako mjini [[Bandar Abbas]]. Jina la mkoa hutokana na [[kisiwa cha Hormuz]].


Mkoa huwa na wakazi 1,403,674 (sensa 2006). Eneo lake ni kilomita za mraba 70,669.
Mkoa huwa na wakazi 1,403,674 (sensa 2006). Eneo lake ni kilomita za mraba 70,669.


==Jiografia==
==Jiografia==
Hormozgan iko katika kusini ya Uajemi kwenye pwani la [[ghuba la Uajemi]] hasa sehemu ya [[mlango wa Hormuz]]. Ng'ambo la mlango wa Hormuz yako maeneo ya [[Oman]] na [[Falme Arabu]]. liegt im Süden des Iran an der Straße von Hormuz (pers.: Hormoz). Sie ist die den Vereinigten Arabischen Emiraten am nächsten gelegene Provinz.
Hormozgan iko katika kusini ya Uajemi kwenye pwani la [[ghuba la Uajemi]] hasa sehemu ya [[mlango wa Hormuz]]. Ng'ambo la mlango wa Hormuz yako maeneo ya [[Oman]] na [[Maungano ya Falme za Kiarabu]].


Mikoa jirani ni [[Mkoa wa Bushehr|Bushehr]], [[Fars]], [[Mkoa wa Kerman|Kerman]] na [[Sistan na Baluchistan]].
Geografisch besteht sie größtenteils aus wüstenhaften Bergen und einer extrem feuchten und heißen Küstenregion. Viele Iraner bevorzugen die Küsten zum Winterurlaub.
Eneo la mkoa huwa na sehemu mbili ambazo ni kanda nyembamba ya pwani pamoja na visiwa kwa upande mmoja na milima yabisi kwa upande mwingine. Pwani ni joto na [[unyevu anga]] ni juu. Waajemi wengi kutoka bara wanakuja hapa kwa likizo wakati wa baridi.


Hauptstadt von Hormozgan ist Bandar Abbas, der Hafen des Abbas. Weitere wichtige Städte sind Bandar Lengeh, Haji Abbad, Minab, Qeshm, Jask, Bastak, Bandar Khamir, Gavbandi, Roudan und Abumusa.
Makao makuu ya Hormozgan yako [[Bandar Abbas]]; miji nyingine ni [[Bandar Lengeh]], [[Haji Abad]], [[Minab]], [[mji wa Qeshm|Qeshm]], [[Jask]], [[Bastak]], [[Bandar Khamir]], [[Gavbandi]] na [[Roudan]].

==Visiwa==
Visiwa 14 katika [[Ghuba la Uajemi]] ni sehemu ya mkoa huu:
* [[Qeshm]]
* [[Kish]]
* [[Tunb]]
* [[Abu Musa]]
* [[Lavan]]
* [[Hengam]]
* [[Hormuz]]
* [[Sirri]]
* [[Forur]]
* [[Forurgan]]
* [[Shotur]]
* [[Lark (kisiwa)|Lark]]
* [[Hendurabi]]



[[Category:Mikoa ya Uajemi]]

[[ar:هرمزكان (محافظة)]]
[[arz:هرمزجان (محافظه)]]
[[az:Hörmüzgan (ostan)]]
[[be-x-old:Хармазган]]
[[bg:Хормозган]]
[[bn:হোর্মোজগন প্রদেশ]]
[[ceb:Hormozgān]]
[[ckb:پارێزگای ھورمزگان]]
[[cs:Hormozgán]]
[[da:Hormozgan (provins)]]
[[de:Hormozgan]]
[[en:Hormozgan Province]]
[[eo:Provinco Hormozgan]]
[[eu:Hormozgan]]
[[fa:استان هرمزگان]]
[[fi:Hormozgān]]
[[fr:Hormozgan]]
[[he:מחוז הרמזגאן]]
[[hi:होर्मोज़्गान प्रांत]]
[[hr:Hormuzgan]]
[[hu:Hormozgán tartomány]]
[[id:Provinsi Hormozgān]]
[[it:Hormozgan]]
[[ja:ホルモズガーン州]]
[[ka:ჰორმაზაგანი (ოსტანი)]]
[[ko:호르모즈간 주]]
[[ku:Hormozgan (parêzgeh)]]
[[lt:Hormozgano provincija]]
[[lv:Hormozgāna]]
[[mk:Хормозган]]
[[ms:Hormozgan]]
[[nl:Hormozgan]]
[[no:Hormozgan]]
[[os:Хормозган]]
[[pl:Hormozgan]]
[[pnb:ہرموزگان]]
[[pt:Hormozgan]]
[[ru:Хормозган]]
[[sco:Hormozgan Province]]
[[sr:Покрајина Хормозган]]
[[sv:Hormozgan]]
[[tg:Устони Ҳурмузгон]]
[[tr:Hürmüzgan Eyaleti]]
[[vi:Hormozgān (tỉnh)]]
[[war:Hormozgān (lalawigan)]]
[[zh:霍爾木茲甘省]]

Pitio la 20:27, 18 Januari 2012

Mahali pa mkoa wa Hormozgan katika Uajemi

Hormozgan (kaj ‏ هرمزگان‎) ni moja kati ya mikoa 31 ya Uajemi. Makao makuu yako mjini Bandar Abbas. Jina la mkoa hutokana na kisiwa cha Hormuz.

Mkoa huwa na wakazi 1,403,674 (sensa 2006). Eneo lake ni kilomita za mraba 70,669.

Jiografia

Hormozgan iko katika kusini ya Uajemi kwenye pwani la ghuba la Uajemi hasa sehemu ya mlango wa Hormuz. Ng'ambo la mlango wa Hormuz yako maeneo ya Oman na Maungano ya Falme za Kiarabu.

Mikoa jirani ni Bushehr, Fars, Kerman na Sistan na Baluchistan.

Eneo la mkoa huwa na sehemu mbili ambazo ni kanda nyembamba ya pwani pamoja na visiwa kwa upande mmoja na milima yabisi kwa upande mwingine. Pwani ni joto na unyevu anga ni juu. Waajemi wengi kutoka bara wanakuja hapa kwa likizo wakati wa baridi.

Makao makuu ya Hormozgan yako Bandar Abbas; miji nyingine ni Bandar Lengeh, Haji Abad, Minab, Qeshm, Jask, Bastak, Bandar Khamir, Gavbandi na Roudan.

Visiwa

Visiwa 14 katika Ghuba la Uajemi ni sehemu ya mkoa huu: