Philippus Mwarabu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: is:Philippus arabi
d r2.6.5) (roboti Nyongeza: diq:Arap Philip
Mstari 17: Mstari 17:
[[da:Philippus Arabs]]
[[da:Philippus Arabs]]
[[de:Philippus Arabs]]
[[de:Philippus Arabs]]
[[diq:Arap Philip]]
[[en:Philip the Arab]]
[[en:Philip the Arab]]
[[eo:Filipo la araba]]
[[eo:Filipo la araba]]

Pitio la 11:00, 17 Januari 2012

Marcus Julius Philippus (takriban 204 – April/Mei 249) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma kuanzia Februari 244 hadi kifo chake. Alimfuata Gordian III. Aliitwa Mwarabu kwa vile alizaliwa katika jimbo la Syria karibu na mji wa Damaskus na wazazi Waarabu.

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Roma bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Philippus Mwarabu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.