Kiluba-Kasai : Tofauti kati ya masahihisho
→Viungo vya nje: +Multitree, +ramani using AWB |
d Kiluba-Kasai (lugha) umesogezwa hapa Kiluba-Kasai: mabano siyo lazima |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 19:01, 13 Januari 2012
Kiluba-Kasai ni lugha ya Kibantu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inayozungumzwa na Waluba-Kasai. Mwaka wa 1991 idadi ya wasemaji wa Kiluba-Kasai imehesabiwa kuwa watu milioni sita na laki tatu. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kiluba-Kasai kiko katika kundi la L30.
Viungo vya nje
- lugha ya Kiluba-Kasai kwenye Multitree
- ramani ya Kiluba-Kasai
- http://www.ethnologue.org/show_language.asp?code=lua
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kiluba-Kasai kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |