Kusini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|250px|right|Alama za dira zikionyesha kusini katika hali ya mkoozo '''Kusini''' ni moja kati ya mielekeo minne mikuu ya [[dir...'
 
interwiki
Mstari 18: Mstari 18:


[[Jamii:Jiografia]]
[[Jamii:Jiografia]]



[[bjn:Salatan]]
[[koi:Лунвыв]]

[[af:Suid]]
[[am:ደቡብ]]
[[ar:جنوب]]
[[arc:ܓܪܒܝܐ]]
[[az:Cənub]]
[[ba:Көньяҡ]]
[[be:Поўдзень]]
[[be-x-old:Поўдзень]]
[[bs:Jug]]
[[br:Su]]
[[bg:Юг]]
[[ca:Sud]]
[[cv:Кăнтăр (тĕнче енĕ)]]
[[ceb:Habagatan]]
[[cs:Jih]]
[[sn:Chamhembe]]
[[co:Sudu]]
[[de:Süden]]
[[et:Lõuna]]
[[el:Νότος]]
[[en:South]]
[[myv:Лембе ёнкс]]
[[es:Sur]]
[[eo:Sudo]]
[[eu:Hego]]
[[fa:جنوب]]
[[fr:Sud]]
[[ga:Deisceart]]
[[gl:Sur]]
[[gan:南]]
[[gu:દક્ષિણ]]
[[ko:남쪽]]
[[hi:दक्षिण]]
[[hr:Jug]]
[[io:Sudo]]
[[id:Selatan]]
[[ia:Sud]]
[[is:Suður]]
[[it:Sud]]
[[he:דרום]]
[[kn:ದಕ್ಷಿಣ]]
[[pam:Mauli]]
[[ka:სამხრეთი]]
[[sw:Güney]]
[[kv:Лунвыв]]
[[ht:Sid]]
[[ku:Başûr]]
[[la:Meridies]]
[[lv:Dienvidi]]
[[lt:Pietūs]]
[[ln:Súdi]]
[[lmo:Sud]]
[[hu:Dél]]
[[mk:Југ]]
[[ms:Selatan]]
[[nl:Zuid]]
[[ne:दक्षिण]]
[[new:येता]]
[[ja:南]]
[[no:Sør]]
[[nn:Sør]]
[[nrm:Su]]
[[oc:Sud]]
[[mhr:Кечывалвел]]
[[uz:Janub]]
[[pnb:دکھن]]
[[pl:Południe]]
[[pt:Sul]]
[[ro:Sud]]
[[qu:Urin]]
[[ru:Юг]]
[[sah:Соҕуруу]]
[[sco:Sooth]]
[[sq:Jugu (gjeografi)]]
[[sk:Juh (svetová strana)]]
[[cu:Югъ]]
[[sl:Jug]]
[[so:Koonfur]]
[[sr:Југ]]
[[sh:Jug]]
[[su:Kidul]]
[[fi:Etelä]]
[[sv:Söder]]
[[ta:தெற்கு]]
[[te:దక్షిణం]]
[[th:ทิศใต้]]
[[tg:Ҷануб (тарафи олам)]]
[[tr:Güney]]
[[uk:Південь]]
[[ur:جنوب]]
[[vec:Sud]]
[[vi:Hướng Nam]]
[[wa:Sud]]
[[war:Salatan]]
[[wuu:南]]
[[yi:דרום]]
[[zh-yue:南]]
[[bat-smg:Pėitā]]
[[zh:南]]

Pitio la 12:53, 8 Januari 2012

Alama za dira zikionyesha kusini katika hali ya mkoozo

Kusini ni moja kati ya mielekeo minne mikuu ya dira. Mwelekeo wake ni ncha ya kusini ya dunia.

Jina "kusini" laaminiwa limetokana na neno lenye asili ya Misri ya Kale kwa ajili ya nchi ya Kushi iliyokuwepo upande wa kusini wa Misri katika Nubia (au Sudani ya leo) pamoja na Uarabuni ya Kusini. Jina la Kushi lapatikana pia katika masimulizi ya Biblia likimtaja mmoja wa wana wa Hamu katika kitabu cha Mwanzo 10:16 kama baba wa watu wa Kushi. Hili neno lilitumiwa na mabaharia Waarabu pia kutaja mwelekeo wa kusini na kwa umbo la "kusi" hasa upepo wa kusini. [1]

Ukitazama jua linapochomoza kusini huwa ni upande wa kulia. Kusini kawaida huwa chini zaidi kwenye ramani. Marekani ipo kusini mwa nchi ya Kanada, Tanzania ipo kusini mwa nchi ya Kenya, na Msumbiji ipo kusini mwa nchi ya Tanzania. Ncha ya kusini ni kusini ya mbali unayoweza kwenda.

Tazama pia

Marejeo

  1. linganisha maelezo katika makala "kusini" katika kamusi ya M-J SSE
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.

sw:Güney