Haki : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: az:Ədalət
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: bo:དྲང་པོ།
Mstari 13: Mstari 13:
[[az:Ədalət]]
[[az:Ədalət]]
[[bg:Правосъдие]]
[[bg:Правосъдие]]
[[bo:དྲང་པོ།]]
[[ca:Justícia]]
[[ca:Justícia]]
[[cs:Spravedlnost]]
[[cs:Spravedlnost]]

Pitio la 07:08, 3 Januari 2012

Maadili bawaba
Haki

Haki ndiyo utaratibu unaotakiwa katika mafungamano.

Kwa Kigiriki inaitwa dikaiosyne, kutokana na neno asili dike yaani anayeelekeza na kwa hiyo pia mwongozo, utaratibu. Tofauti na nomos, yaani sheria inayoongoza wanyama pia, dike inahitajiwa na binadamu ili kuishi kwa utaratibu. Ni kinyume cha bie, ukatili, nguvu inayoangamiza. Dikaios (mwenye kujali haki), ni mtu anayemtendea kila mmoja haki yake. Dikaia zoe ni maisha ya kiutu yanayopingana na hybris (kiburi) na ushenzi.

Kwa Kilatini kutokana na neno jus, haki, linapatikana neno justus, mwenye kujali haki, na hatimaye justitia, iliyo adili la msingi la utu linalotufanta tumpatie mwingine anachostahili.