Maporomoko ya Niagara : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: ia:Cascadas de Niagara |
d r2.7.1) (roboti Badiliko: ms:Air Terjun Niagara |
||
Mstari 79: | Mstari 79: | ||
[[mn:Ниагар хүрхрээ]] |
[[mn:Ниагар хүрхрээ]] |
||
[[mr:नायगारा धबधबा]] |
[[mr:नायगारा धबधबा]] |
||
[[ms:Air |
[[ms:Air Terjun Niagara]] |
||
[[mwl:Cachones de l Niágara]] |
[[mwl:Cachones de l Niágara]] |
||
[[my:နိုင်အာဂရာ ရေတံခွန်]] |
[[my:နိုင်အာဂရာ ရေတံခွန်]] |
Pitio la 10:45, 30 Desemba 2011
Maporomoko ya Niagara (Niagara Falls) ni mfululizo wa maporomoko ya mto Niagara yaliyopo mpakani mwa Kanada na Marekani kati ya Ziwa Erie na Ziwa Ontario. Ni maporomoko makubwa ya Amerika ya Kaskazini.
Wenyeji hutofautisha maporomoko matatu
- Horseshoe Falls (maporomoko ya mguu wa farasi, yanaitwa pia maporomoko ya Kikanada)
- Maporomoko ya Kimarekani
- Maporomoko ya Bridal Veil (utaji wa bibi arusi)
Ni kitovu cha utalii katika Amerika ya Kaskazini kinachotembelewa na watalii wngi sana.
Kuna miji miwili inayoitwa Niagara Falls upande wa Kanada na mwingine upande wa Marekani.