Waraka wa tatu wa Yohane : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d Bot: Simplifying links ([link|linktext] → [link]text)
d r2.5.1) (roboti Nyongeza: th:พระธรรม 3 ยอห์น
Mstari 62: Mstari 62:
[[sv:Tredje Johannesbrevet]]
[[sv:Tredje Johannesbrevet]]
[[ta:3 யோவான் (நூல்)]]
[[ta:3 யோவான் (நூல்)]]
[[th:พระธรรม 3 ยอห์น]]
[[tl:Ikatlong Sulat ni Juan]]
[[tl:Ikatlong Sulat ni Juan]]
[[ug:يۇھاننا يازغان ئۈچىنچى خەت]]
[[ug:يۇھاننا يازغان ئۈچىنچى خەت]]

Pitio la 21:51, 29 Desemba 2011

Agano Jipya


Barua ya tatu ya Yohane ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.

Mwandishi

Kuhusu mwandishi wa barua hiyo lilichelewa kutajwa jina la Mtume Yohane kutokana na yaliyomo na mtindo wa uandishi wake.

Kama mwandishi si yeye, ni mmoja wa wanafunzi wake aliyeandikwa mwishoni mwa karne ya 1 huko Efeso.

Mlengwa

Mlengwa ni Gaio, anayedhaniwa kuwa kiongozi mmojawapo wa jumuia fulani kati ya zile zilizomtegemea Yohane.

Kiungo cha nje

  • [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili