David Hubel : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Badiliko: nl:David H. Hubel
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: eu:David Hunter Hubel
Mstari 17: Mstari 17:
[[en:David H. Hubel]]
[[en:David H. Hubel]]
[[es:David Hunter Hubel]]
[[es:David Hunter Hubel]]
[[eu:David Hunter Hubel]]
[[fi:David H. Hubel]]
[[fi:David H. Hubel]]
[[fr:David Hunter Hubel]]
[[fr:David Hunter Hubel]]

Pitio la 04:23, 29 Desemba 2011

David Hunter Hubel (amezaliwa 27 Februari, 1926) alikuwa daktari kutoka nchi ya Kanada. Baadaye alihamia na kufanya kazi nchini Marekani. Hasa alichunguza jinsi habari za macho zinazofikishwa ubongoni. Mwaka wa 1981, pamoja na Roger Sperry na Torsten Wiesel alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu David Hubel kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.