Kiwango utatu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: ia:Puncto triple
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: ml:ത്രിക ബിന്ദു
Mstari 34: Mstari 34:
[[ko:삼중점]]
[[ko:삼중점]]
[[la:Punctum triplex]]
[[la:Punctum triplex]]
[[ml:ത്രിക ബിന്ദു]]
[[nds:Tripelpunkt]]
[[nds:Tripelpunkt]]
[[nl:Tripelpunt]]
[[nl:Tripelpunt]]

Pitio la 21:06, 21 Desemba 2011

Kiwango utatu ni kiwango cha maji au dutu nyingine inapoweza kuwa mahali pamoja katika hali imara, kiowevu na gesi (kwa mfano wa maji: barafu, majimaji na mvuke). Kiwango hiki kinategemea halijoto na shindikizo.

Kiwango utatu cha maji ni kiwango cha kukadiria skeli ya selsiasi au sentigredi (273.16 K au 0.01 °C).


Wikimedia Commons ina media kuhusu: