Haki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: kk:Әлеуметтік әділеттілік |
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: xmf:თინსარჯულუა |
||
Mstari 55: | Mstari 55: | ||
[[uk:Справедливість]] |
[[uk:Справедливість]] |
||
[[ur:عدل]] |
[[ur:عدل]] |
||
[[xmf:თინსარჯულუა]] |
|||
[[yi:יוסטיץ]] |
[[yi:יוסטיץ]] |
||
[[zh:公平正義]] |
[[zh:公平正義]] |
Pitio la 05:21, 21 Desemba 2011
Maadili bawaba |
---|
Haki ndiyo utaratibu unaotakiwa katika mafungamano.
Kwa Kigiriki inaitwa dikaiosyne, kutokana na neno asili dike yaani anayeelekeza na kwa hiyo pia mwongozo, utaratibu. Tofauti na nomos, yaani sheria inayoongoza wanyama pia, dike inahitajiwa na binadamu ili kuishi kwa utaratibu. Ni kinyume cha bie, ukatili, nguvu inayoangamiza. Dikaios (mwenye kujali haki), ni mtu anayemtendea kila mmoja haki yake. Dikaia zoe ni maisha ya kiutu yanayopingana na hybris (kiburi) na ushenzi.
Kwa Kilatini kutokana na neno jus, haki, linapatikana neno justus, mwenye kujali haki, na hatimaye justitia, iliyo adili la msingi la utu linalotufanta tumpatie mwingine anachostahili.