Waraka wa kwanza kwa Timotheo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Simplifying links ([link|linktext] → [link]text) |
d roboti Nyongeza: th:พระธรรม 1 ทิโมธี |
||
Mstari 60: | Mstari 60: | ||
[[sv:Första Timotheosbrevet]] |
[[sv:Första Timotheosbrevet]] |
||
[[ta:1 திமொத்தேயு (நூல்)]] |
[[ta:1 திமொத்தேயு (நூல்)]] |
||
[[th:พระธรรม 1 ทิโมธี]] |
|||
[[tl:Unang Sulat kay Timoteo]] |
[[tl:Unang Sulat kay Timoteo]] |
||
[[ug:تىموتىيغا يېزىلغان بىرىنچى خەت]] |
[[ug:تىموتىيغا يېزىلغان بىرىنچى خەت]] |
Pitio la 06:54, 20 Desemba 2011
Barua ya kwanza kwa Timotheo ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Ukristo.
Pamoja na ile ya pili aliyomuandikia na ile kwa Tito inaunda kundi la Nyaraka za Kichungaji.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
Mazingira
Barua hii iliandikwa na Mtume Paulo baada ya kifungo chake cha kwanza mjini Roma labda akiwa Makedonia ili kumpa mwanafunzi wake mpenzi mashauri na maelekezo kwa kazi yake aliyomshirikisha.
Kiungo cha nje
- [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili