Kievant : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: de:Evant, hr:Evant (jezik), pms:Lenga Evant
→‎Viungo vya nje: +Multitree, +ramani using AWB
Mstari 2: Mstari 2:


==Viungo vya nje==
==Viungo vya nje==
*[http://multitree.org/codes/bzz lugha ya Kievant kwenye Multitree]
*[http://llmap.org/languages/bzz.html ramani ya Kievant]
*http://www.ethnologue.org/show_language.asp?code=bzz
*http://www.ethnologue.org/show_language.asp?code=bzz



Pitio la 14:12, 18 Desemba 2011

Kievant ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria na Kamerun inayozungumzwa na Waevant. Mwaka wa 1996 idadi ya wasemaji wa Kievant imehesabiwa kuwa watu 10,000 nchini Nigeria na watu 1000 nchini Kamerun. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kievant kiko katika kundi la Kitivoidi ambalo linafanana na lugha za Kibantu.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kievant kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.