Pavel Cherenkov : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 15: Mstari 15:
[[cs:Pavel Alexejevič Čerenkov]]
[[cs:Pavel Alexejevič Čerenkov]]
[[de:Pawel Alexejewitsch Tscherenkow]]
[[de:Pawel Alexejewitsch Tscherenkow]]
[[en:Pavel Alekseyevich Cherenkov]]
[[en:Pavel Alekseyevich Čerenkov]]
[[es:Pavel Alekseyevich Cherenkov]]
[[es:Pavel Alekseyevich Cherenkov]]
[[fr:Pavel Tcherenkov]]
[[fr:Pavel Tcherenkov]]

Pitio la 11:36, 25 Agosti 2007

Pavel Alekseyevich Cherenkov (28 Julai, 19046 Januari, 1990) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Aligundua mnururisho wa Cherenkov unaotokea elektroni ikitembea kwa mwendo mkali zaidi kuliko mwendo wa nuru. Mwaka wa 1958, pamoja na Igor Tamm na Ilya Frank alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.