Nasaba ya Han : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: kk:Хань мемлекеті; cosmetic changes
d r2.7.2) (roboti Badiliko: jv:Wangsa Han
Mstari 49: Mstari 49:
[[it:Dinastia Han]]
[[it:Dinastia Han]]
[[ja:漢]]
[[ja:漢]]
[[jv:Dinasti Han]]
[[jv:Wangsa Han]]
[[kk:Хань мемлекеті]]
[[kk:Хань мемлекеті]]
[[ko:한나라]]
[[ko:한나라]]

Pitio la 00:09, 10 Desemba 2011

Eneo la utawala wa Han katika Uchina

Nasaba ya Han (Kichina cha asili: 漢朝 ; Kichina rahisi: 汉朝; Hanyu Pinyin: Hàn cháo; Wade-Giles: Han Ch'au; 206 KK – 220 BK) ilifuata utawala wa nasaba ya Qin, na ilitangulia Dola Tatu katika Uchina. Utawala huu ulianzishwa na familia maarufu iliyofahamika kama Ukoo wa Liu.

Watu wa China huhesabu nasaba ya Han iliyodumu kwa karne nne kuwa moja ya vipindi vikuu katika historia yote ya nchi. Hivyo, watu wa jamii kubwa ya China hujihesabu mpaka leo “watu wa Han”, kwa heshima ya familia ya Han na utawala waliouanzisha.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA