Boris Leonidovich Pasternak : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 39: Mstari 39:
[[ja:ボリス・パステルナーク]]
[[ja:ボリス・パステルナーク]]
[[lv:Boriss Pasternaks]]
[[lv:Boriss Pasternaks]]
[[ml:ബോറിസ് പാസ്തനാര്‍ക്ക്]]
[[mr:बोरिस पास्तरनाक]]
[[mr:बोरिस पास्तरनाक]]
[[nl:Boris Pasternak]]
[[nl:Boris Pasternak]]

Pitio la 11:25, 23 Agosti 2007

Faili:Pasternak.jpg
Boris Pasternak

Boris Leonidovich Pasternak (10 Februari, 189030 Mei, 1960) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Urusi. Ingawa aliandika mashairi kwa ujumla, anajulikana hasa kwa riwaya yake "Daktari Zhivago" iliyotolewa mwaka wa 1956. Mwaka wa 1958 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi lakini aliikataa kwa sababu ya upinzani katika nchi yake.