Vipimo sanifu vya kimataifa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.3) (roboti Nyongeza: nso:SI
Mstari 73: Mstari 73:
[[mn:Олон улсын нэгжийн систем]]
[[mn:Олон улсын нэгжийн систем]]
[[ms:Sistem Unit Antarabangsa]]
[[ms:Sistem Unit Antarabangsa]]
[[my:အပြည်ပြည်ဆိုင်ရာ ယူနစ် စနစ်]]
[[nds:Internatschonal Eenheitensystem]]
[[nds:Internatschonal Eenheitensystem]]
[[nl:SI-stelsel]]
[[nl:SI-stelsel]]

Pitio la 21:16, 5 Desemba 2011

Vipimo sanifu vya kimataifa (Kifar.: Système International d'unités; kifupi chake: SI) ni utaratibu uliokubaliwa kimataifa kwa kuwa na vizio vya upimaji vya pamoja duniani. Maendeleo na matumizi ya utaratibu huo huangaliwa na Ofisi ya Kimataifa ya Vipimo.

Msingi wa utaratibu huu ni mita. Vizio vingine ni vya urefu (mita), masi (kilogramu), wakati (sekondi), mkondo wa umeme (ampea), halijoto (kelvini), kiasi cha dutu (moli), mwangaza au ukalifu nunurikaji (kandela).

Vipimo hivi hutumika na wanasayansi duniani. Katika maisha ya kawaida kuna vipimo mbalimbali vinavyoweza kuwa tofauti kati ya nchi na nchi.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA