John Fisher : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: zh:约翰费舍尔 |
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.2) (roboti Badiliko: zh:约翰·费舍尔 |
||
Mstari 38: | Mstari 38: | ||
[[sc:John Fisher]] |
[[sc:John Fisher]] |
||
[[sv:John Fisher]] |
[[sv:John Fisher]] |
||
[[zh:约翰费舍尔]] |
[[zh:约翰·费舍尔]] |
Pitio la 18:00, 4 Desemba 2011
John Fisher au John wa Rochester (1469 – 22 Juni, 1535) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki kule Uingereza.
Pamoja na Thomas More, alimkataa mfalme Henry VIII aliyejitenga na Kanisa la Roma. Kwa hiyo, John Fisher alifungwa na baada ya kushtakiwa mahakamani aliuawa. Kabla ya hapo Papa Paulo III alimteua kuwa kardinali.
Mwaka 1935 alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mtakatifu mfiadini. Sikukuu yake ni 22 Juni katika Kanisa Katoliki, na 6 Julai katika Kanisa Anglikana.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |