Ng'ombe : Tofauti kati ya masahihisho
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: uk:Корова |
No edit summary |
||
Mstari 30: | Mstari 30: | ||
Wataalamu huamini ya kwamba aina zote za ng'ombe zina asili katika [[mashariki ya kati]] mnamo [[milenia ya 9 KK]] ambako watu waliwahi kuwafuga na kutoka hapa [[ufugaji]] ng'ombe ulisambaa kote duniani. |
Wataalamu huamini ya kwamba aina zote za ng'ombe zina asili katika [[mashariki ya kati]] mnamo [[milenia ya 9 KK]] ambako watu waliwahi kuwafuga na kutoka hapa [[ufugaji]] ng'ombe ulisambaa kote duniani. |
||
Ng'ombe wanapatikana kote duniani na kuna aina kwa kila namna ya [[hali ya hewa]]. Wengine huishi katika milima [[baridi]] za [[Uskoti]] au [[Skandinavia]], wengine katika [[joto]] la [[ |
Ng'ombe wanapatikana kote duniani na kuna aina kwa kila namna ya [[hali ya hewa]]. Wengine huishi katika milima [[baridi]] za [[Uskoti]] au [[Skandinavia]], wengine katika [[joto]] la [[Africa]] au [[Australia]]. |
||
Wanacheua [[chakula]] chao na huwa na [[tumbo]] lenye vyumba vinne. Baada ya kula [[nyasi]] mara ya kwanza wanairudisha kutoka chumba cha kwanza cha tumbo na kuitafuna tena. Kwa njia hii wanapata lishe nyingi kutoka nyasi. |
Wanacheua [[chakula]] chao na huwa na [[tumbo]] lenye vyumba vinne. Baada ya kula [[nyasi]] mara ya kwanza wanairudisha kutoka chumba cha kwanza cha tumbo na kuitafuna tena. Kwa njia hii wanapata lishe nyingi kutoka nyasi. |
||
Ngombe za kiafrica: |
|||
1. Tutsi/Ankole |
|||
2. Zebu |
|||
3. Boran |
|||
4. Ngoni |
|||
<gallery> |
<gallery> |
Pitio la 14:10, 2 Desemba 2011
Ng'ombe | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Kundi la ng'ombe
| ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
| ||||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||||
nususpishi 3: |
Ng'ombe ni wanyama wakubwa wa jenasi Bos. Spishi ya ng'ombe ina nususpishi au aina nyingi lakini ni spishi moja tu.
Ng'ombe hula manyasi na kutembea kwa vidole viwili.
Asili yake ni aina za ng'ombe wa pori waliofugwa na binadamu ili kujipatia nyama na maziwa. Katika nchi nyingi anatumiwa pia kama mnyama wa mizigo anayevuta plau au magari.
Wataalamu huamini ya kwamba aina zote za ng'ombe zina asili katika mashariki ya kati mnamo milenia ya 9 KK ambako watu waliwahi kuwafuga na kutoka hapa ufugaji ng'ombe ulisambaa kote duniani.
Ng'ombe wanapatikana kote duniani na kuna aina kwa kila namna ya hali ya hewa. Wengine huishi katika milima baridi za Uskoti au Skandinavia, wengine katika joto la Africa au Australia.
Wanacheua chakula chao na huwa na tumbo lenye vyumba vinne. Baada ya kula nyasi mara ya kwanza wanairudisha kutoka chumba cha kwanza cha tumbo na kuitafuna tena. Kwa njia hii wanapata lishe nyingi kutoka nyasi.
Ngombe za kiafrica:
1. Tutsi/Ankole
2. Zebu
3. Boran
4. Ngoni
-
Ng'ombe wa Watussi.
-
Ndama amezaliwa sasa hivi
-
Ndama anapokea maziwa kutoka mama
-
Mashine ya kukamua maziwa
-
Zebu
-
Chotara wa Brahman
-
Friesian-Holstein ni ng'ombe wa maziwa
-
Mchezo wa ng'ombe uanpendwa katika nchi zeye utamaduni wa Kihispania
Viungo vya Nje
- Cattle Breeds website - Oklahoma State University
- PBS Nature: Holy Cow (about cows in general)