Mparachichi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: eu:Ahuakateondo
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: nv:Chʼil akʼahí
Mstari 75: Mstari 75:
[[nn:Avokado]]
[[nn:Avokado]]
[[no:Avokado]]
[[no:Avokado]]
[[nv:Chʼil akʼahí]]
[[pt:Abacateiro]]
[[pt:Abacateiro]]
[[qu:Palta]]
[[qu:Palta]]

Pitio la 06:09, 1 Desemba 2011

Mparachichi
(Persea americana)
Mparachichi
Mparachichi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Magnoliids (Mimea ambayo maua yao yana mizingo ya tepali tatu na chavua yenye kitundu kimoja)
Oda: Laurales (Mimea kama mparachichi)
Familia: Lauraceae (Mimea iliyo na mnasaba na mparachichi)
Jenasi: Persea
Spishi: P. americana Mill.

Mparachichi au mwembe mafuta ni mti wenye majani na matunda makubwa ambao hupandwa mahali pote pa tropiki na nusutropiki. Huitwa mpea pia lakini afadhali jina hili litumiwe kwa miti ya jenasi Pyrus. Matunda yake (parachichi) yana mafuta mengi.

Picha