Mmea : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.7) (roboti Nyongeza: ang:Plante
d r2.7.1) (roboti Badiliko: sa:ओषयः
Mstari 151: Mstari 151:
[[rue:Рослины]]
[[rue:Рослины]]
[[rw:Ikimera]]
[[rw:Ikimera]]
[[sa:ओषधी]]
[[sa:ओषयः]]
[[sah:Үүнээйилэр]]
[[sah:Үүнээйилэр]]
[[scn:Plantae]]
[[scn:Plantae]]

Pitio la 22:53, 28 Novemba 2011

Mimea

Mimea ni moja ya kundi la viumbe hai duniani ikijumuisha miti, maua, mitishamba,n.k. Kuna zaidi ya aina 300,000 ya mimea.

Sayansi inayochunguza mimea huitwa botania ni kitengo cha biolojia. Kwenye uainishaji wa kisayansi Mimea hujumlishwa katika himaya ya planta kwenye milki ya Eukaryota.

Kwa jumla mimea huwa na uwezo wa usanisinuru yaani hujilisha kwa msaada wa nuru.

Album

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mmea kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.