Vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Marekani : Tofauti kati ya masahihisho
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: tt:АКШ ватандашлар сугышы |
d Robot: la:Bellum Civile Americanum is a featured article |
||
Mstari 26: | Mstari 26: | ||
{{Link FA|he}} |
{{Link FA|he}} |
||
{{Link FA|pt}} |
{{Link FA|pt}} |
||
{{Link FA|la}} |
|||
[[af:Amerikaanse Burgeroorlog]] |
[[af:Amerikaanse Burgeroorlog]] |
Pitio la 03:17, 28 Novemba 2011
Vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Marekani vilipiganiwa kuanzia 1861 hadi 1865 kati ya majimbo ya kusini na majimbo ya kaskazini nchini Marekani.
Kundi la majimbo ya kusini likajitenga na Maungano ya Madola ya Amerika likajiita "Shirikisho la madola ya Amerika" na idadi kubwa zaidi ya majimbo ya kaskazini pamoja na serikali kuu yalitaka kuzuia farakano hili.
Sababu moja muhimu ya vita ilikuwa swali la utumwa. Majimbo ya kaskazini yaliwahi kupiga utumwa marufuku lakini majimbo ya kusini yaliendelea na sharia zilizoruhusu utumwa na matajiri wengi wa kusini walitegemea kazi ya watumwa.
Sababu nyingine zilikuwa tofauti za kiuchumi; majimbo ya kaskazini yalikuwa na viwanda na miji mingi mikubwa lakini uchumi wa kusini ulikuwa hasa kilimo kilichotegema kazi ya watumwa.
Uchaguzi wa mwanasiasa Abraham Lincoln aliyekuwa mpizani wa utumwa kuwa rais wa Marekani uliharakisha farakano kutokea.
Vita vilikuwa virefu na watu 650.000 walikufa lakini mwishoni kaskazini ilishinda.
Viungo vya Nje
Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA