Kinyamadege : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d Robot: ca:Ornitorinc is a featured article
d Robot: de:Schnabeltier is a featured article
Mstari 27: Mstari 27:
[[Jamii:Kinyamadege na jamaa]]
[[Jamii:Kinyamadege na jamaa]]
{{Link FA|ca}}
{{Link FA|ca}}
{{Link FA|de}}


[[af:Eendbekdier]]
[[af:Eendbekdier]]

Pitio la 23:55, 27 Novemba 2011

Kinyamadege

Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Monotremata (Mamalia wenye tundu moja nyuma (kloaka))
Nusuoda: Platypoda
Familia: Ornithorhynchidae (Wanyama walio na mnasaba na kinyamadege)
Jenasi: Ornithorhynchus
Blumenbach, 1800
Spishi: O. anatinus
(Shaw, 1799)

Kinyamadege au domobata ni mamalia wa Australia aliye na mdomo wa bata, miguu yenye utando kati vidole kama ile ya fisi-maji na mkia kama biva. Ni moja ya spishi tano za mamalia watagao mayai.


Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kinyamadege kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA