Kilomita ya mraba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.2) (roboti Nyongeza: gv:Kilomeadar kerrinagh |
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: et:Ruutkilomeeter |
||
Mstari 42: | Mstari 42: | ||
[[eo:Kvadrata kilometro]] |
[[eo:Kvadrata kilometro]] |
||
[[es:Kilómetro cuadrado]] |
[[es:Kilómetro cuadrado]] |
||
[[et:Ruutkilomeeter]] |
|||
[[eu:Kilometro koadro]] |
[[eu:Kilometro koadro]] |
||
[[ext:Quilómetru quairau]] |
[[ext:Quilómetru quairau]] |
Pitio la 02:58, 25 Novemba 2011
Kilomita ya mraba (km²) ni kipimo cha eneo; eneo lenye upana na urefu wa kilomita moja
Msingi wake ni mita ya mraba (m²). Kilomita ya mraba hutumika kwa upimaji wa maeneo makubwa duniani kama mji, mkoa, nchi au dunia yote.
Kilometa 1 ya mraba (km²) ni sawa na:
- eneo la mraba yenye urefu wa kilomita moja kila upande
- Mita ya mraba 1,000,000
- Hektari 100
- Ekari 247.105 381
- Maili ya mraba 0.386 102
Au:
- Mita ya mraba 1 = kilometa ya mraba (km²) 0.000 001
- Hektari 1= kilometa ya mraba (km²) 0.01
- Maili ya mraba 1 = kilometa ya mraba 2.589 988
- Ekari 1 = kilometa ya mraba 0.004 047