Diego Velázquez : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: ms:Diego Velázquez
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: az:Dieqo Velaskes
Mstari 35: Mstari 35:
[[ar:دييغو فيلازكيز]]
[[ar:دييغو فيلازكيز]]
[[arz:دييجو فيلاثكيز]]
[[arz:دييجو فيلاثكيز]]
[[az:Dieqo Velaskes]]
[[bat-smg:Diego Velázquez]]
[[bat-smg:Diego Velázquez]]
[[be:Дыега Веласкес]]
[[be:Дыега Веласкес]]

Pitio la 12:46, 19 Novemba 2011

Velasquez alivyojichora mwenyewe mnamo 1630

Diego Velázquez (Juni 1599 - 6 Agosti 1660) alikuwa mchoraji mashuhuri wa Hispania wakati wa karne ya 17.

Alikuwa mchoraji aliyependwa na mfalme Filipo IV wa Hispania akachora watu wengi wa familia ya mfalme na waungwana waliokaa kwenye jumba la kifalme. Mweyewe alioa akazaa mabinti wawili.

Alisafiri pia hadi Italia alikopokea athira mbalimbali kwa kazi yake.

Mifano ya taswira zake

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Diego Velázquez kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA