9 Juni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: diq:9 Heziran |
d r2.6.4) (roboti Badiliko: kk:9 маусым |
||
Mstari 91: | Mstari 91: | ||
[[jv:9 Juni]] |
[[jv:9 Juni]] |
||
[[ka:9 ივნისი]] |
[[ka:9 ივნისი]] |
||
[[kk:9 маусым]] |
|||
[[kk:Маусымның 9]] |
|||
[[kl:Juuni 9]] |
[[kl:Juuni 9]] |
||
[[kn:ಜೂನ್ ೯]] |
[[kn:ಜೂನ್ ೯]] |
Pitio la 18:44, 14 Novemba 2011
Mei - Juni - Jul | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Matukio
- 1534 - Jacques Cartier ni Mzungu wa kwanza kugundua mto wa St. Lawrence.
- 1815 - Mwisho wa Mkutano wa Vienna uliorekebisha hali ya siasa ya Ulaya.
- 1856 - Wamormoni 500 wanatoka mji wa Iowa City katika jimbo la Iowa na kuelekea magharibi kwenda mji wa Salt Lake City katika jimbo la Utah wakibeba mali zao zote kwenye mikokoteni.
Waliozaliwa
- 1640 - Kaisari Leopold I wa Ujerumani
- 1672 - Tsar Peter I wa Urusi
- 1843 - Bertha von Suttner (mwandishi Mwaustria, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1905)
- 1875 - Henry Dale (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1936)
- 1935 - Pius Msekwa, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 1963 - Johnny Depp, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Waliofariki
- 68 - Kaisari wa Roma, Nero anajiua.
- 373 - Mtakatifu Efrem wa Syria
- 1870 - Charles Dickens, mwandishi maarufu Mwingereza
- 1959 - Adolf Windaus (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1928)
- 1974 - Miguel Asturias (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1967)
- 1987 - Elijah Masinde, mwanzilishaji wa Dini ya Musambwa
- 1989 - George Beadle (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1958)