Ulafi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: br:Lontegezh, sv:Frosseri
Mstari 16: Mstari 16:
[[Category:Vichwa vya dhambi]]
[[Category:Vichwa vya dhambi]]


[[br:Lontegezh]]
[[ca:Gola (pecat)]]
[[ca:Gola (pecat)]]
[[cs:Nestřídmost]]
[[cs:Nestřídmost]]
Mstari 32: Mstari 33:
[[simple:Gluttony]]
[[simple:Gluttony]]
[[sk:Obžerstvo]]
[[sk:Obžerstvo]]
[[sv:Frosseri]]
[[tl:Katakawan]]
[[tl:Katakawan]]
[[uk:Ненажерливість]]
[[uk:Ненажерливість]]

Pitio la 19:42, 12 Novemba 2011

Sehemu inayohusu ulafi katika mchoro wa Hieronymus Bosch kuhusu vilema vikuu saba na vikomo vinne vya binadamu.
Vilema vikuu

Ulafi (pamoja na ulevi) ni hamu isiyoratibiwa ya kula (na kunywa).

Tabia hiyo ina madhara makubwa kwa afya ya binadamu.

Inakadiriwa kuwa siku hizi mtu 1 kati ya 3 anakula kuliko mwili wake unavyohitaji, na hivyo anasababisha maradhi mbalimbali yampate.

Upande wa maadili unahesabiwa kuwa kimojawapo kati ya vilema vikuu, ambavyo ni mizizi ya dhambi nyingine.