Mkoa wa Uşak : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: sr:Ушак (вилајет)
d r2.7.1) (roboti Badiliko: ik:Uşak
Mstari 50: Mstari 50:
[[hy:Ուշաք (նահանգ)]]
[[hy:Ուշաք (նահանգ)]]
[[id:Provinsi Uşak]]
[[id:Provinsi Uşak]]
[[ik:Uşak Province]]
[[ik:Uşak]]
[[it:Provincia di Uşak]]
[[it:Provincia di Uşak]]
[[ja:ウシャク県]]
[[ja:ウシャク県]]

Pitio la 08:31, 10 Novemba 2011

Mkoa wa Uşak
Maeneo ya Mkoa wa Uşak nchini Uturuki
Maelezo
Kanda: Kanda ya Aegean
Eneo: 5,341 (km²)
Idadi ya Wakazi 334,115 TUIK 2007 (est)
Kodi ya Leseni: 64
Kodi ya eneo: 0{{{kodi_ya_eneo}}}
Tovuti ya Gavana http://www.usak.gov.tr/
Utabiri wa hali ya hewa turkeyforecast.com/weather/uşak


Uşak (kutoka Uşşak maanake "wapenzi") ni jina la kutaja mkoa uliopo mjini magharibi mwa nchi ya Uturuki. Umepakana na Manisa kwa upande wa magharibi, Denizli kwa upande wa kusini, Afyon kwa upande wa mashariki, ana Kütahya kwa upande wa kaskazini. Mji wake mkuu ni Uşak. Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 5,341 na una idadi ya wakazi wapatao 334,115 (makisio ya 2007). Kwa mwaka wa 2000, idadi ya wakazi wa hapa ilikuwa 322,313.

Wilaya za mkoani hapa

Mkoa wa Uşak umegawanyika katika wilaya 6 (mji mkuu umekoozeshwa):

Viungo vya Nje