Jimbo Katoliki la Iringa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jimbo katoliki la Iringa''' (kwa Kilatini Dioecesis Iringaënsis) ni mojawapo kati ya majimbo 33 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania ...'
 
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
'''Jimbo katoliki la Iringa''' (kwa [[Kilatini]] Dioecesis Iringaënsis) ni mojawapo kati ya ma[[dayosisi|jimbo]] 33 ya [[Kanisa Katoliki]] nchini [[Tanzania]] na kama hayo yote linafuata [[mapokeo ya Kiroma]].
'''Jimbo katoliki la Iringa''' (kwa [[Kilatini]] Dioecesis Iringaënsis) ni mojawapo kati ya ma[[dayosisi|jimbo]] 33 ya [[Kanisa Katoliki]] nchini [[Tanzania]] na kama hayo yote linafuata [[mapokeo ya Kiroma]].


Makao makuu yake yako [[Iringa]] katika [[mkoa wa Iringa]], lakini linaenea pia katika [[mkoa wa Njombe]] na katika [[mkoa wa Mbeya]].
Makao makuu yake yako [[Iringa]] katika [[mkoa wa Iringa]], lakini linaenea pia katika [[mkoa wa Mbeya]].


[[Kanisa kuu]] limewekwa wakfu kwa [[Moyo Mtakatifu]] wa [[Yesu]].
Kikanisa linahusiana na [[jimbo kuu]] la [[Songea]].

Kikanisa linahusiana na [[jimbo kuu]] la [[Songea]] kuanza tarehe [[18 Novemba]] [[1987]].


[[Askofu]] wake ni [[Tarcisius Ngalalekumtwa]].
[[Askofu]] wake ni [[Tarcisius Ngalalekumtwa]].

[[Parokia]] ni 33.

Anwani ya [[posta]] ni: P.O. Box 133, Iringa, Tanzania.


==Historia==
==Historia==
Mstari 25: Mstari 31:


==Takwimu==
==Takwimu==
Eneo ni la kilometa mraba 43,318, ambapo kati ya wakazi 2,367,962 ([[2006]]) Wakatoliki ni 588,438 (24.9%).
Eneo ni la kilometa mraba 43,318, ambapo kati ya wakazi 2,367,962 ([[2006]]) Wakatoliki ni 588,438 (24.9%). Mapadri ni 92, wakiwemo [[wanajimbo]] 53 na [[watawa]] 39. Kwa wastani kila mmoja anahudumia waamini 6.396. [[Shemasi]] ni 1, ma[[bruda]] ni 206 na ma[[sista]] 549.



==Viungo vya nje==
==Viungo vya nje==
* [http://www.gcatholic.com/dioceses/diocese/irin0.htm Giga-Catholic Information]
* [http://www.gcatholic.com/dioceses/diocese/irin0.htm Giga-Catholic Information]
* [http://www.catholic-hierarchy.org/diocese/dirin.html Catholic Hierarchy]
* [http://www.catholic-hierarchy.org/diocese/dirin.html Catholic Hierarchy]
*[[Annuario pontificio]] ya mwaka 2007 na kurudi nyuma katika [http://www.catholic-hierarchy.org www.catholic-hierarchy.org] alla pagina [http://www.catholic-hierarchy.org/diocese/dirin.html]
* [http://www.vatican.va/archive/aas/documents/AAS%2014%20%5B1922%5D%20-%20ocr.pdf Hati ''Quae rei sacrae''], AAS 14 (1922), p. 221
* [http://www.vatican.va/archive/aas/documents/AAS%2040%20%5B1948%5D%20-%20ocr.pdf Hati ''Digna sane''], AAS 40 (1948), p. 306
* [http://www.vatican.va/archive/aas/documents/AAS%2045%20%5B1953%5D%20-%20ocr.pdf Hati ''Quemadmodum ad Nos''], AAS 45 (1953), p. 705
*{{en}} [http://www.gcatholic.com/dioceses/diocese/irin0.htm Scheda della diocesi] su [http://www.gcatholic.com/ www.gcatholic.com]
*{{en}} [http://tecdirectory.tripod.com/diringa.htm Scheda della diocesi] sul Sito della Conferenza episcopale della Tanzania



[[Category:Kanisa Katoliki Tanzania|Mahenge]]
[[Category:Kanisa Katoliki Tanzania|Iringa]]


[[de:Bistum Iringa]]
[[de:Bistum Iringa]]

Pitio la 15:31, 9 Novemba 2011

Jimbo katoliki la Iringa (kwa Kilatini Dioecesis Iringaënsis) ni mojawapo kati ya majimbo 33 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.

Makao makuu yake yako Iringa katika mkoa wa Iringa, lakini linaenea pia katika mkoa wa Mbeya.

Kanisa kuu limewekwa wakfu kwa Moyo Mtakatifu wa Yesu.

Kikanisa linahusiana na jimbo kuu la Songea kuanza tarehe 18 Novemba 1987.

Askofu wake ni Tarcisius Ngalalekumtwa.

Parokia ni 33.

Anwani ya posta ni: P.O. Box 133, Iringa, Tanzania.

Historia

Uongozi

Takwimu

Eneo ni la kilometa mraba 43,318, ambapo kati ya wakazi 2,367,962 (2006) Wakatoliki ni 588,438 (24.9%). Mapadri ni 92, wakiwemo wanajimbo 53 na watawa 39. Kwa wastani kila mmoja anahudumia waamini 6.396. Shemasi ni 1, mabruda ni 206 na masista 549.


Viungo vya nje