Kihispania : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Badiliko: iu:ᓯᐸᐃᓂᑎᑐᑦ
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: nah:Caxtillāntlahtōlli
Mstari 162: Mstari 162:
[[mt:Lingwa Spanjola]]
[[mt:Lingwa Spanjola]]
[[mwl:Lhéngua castelhana]]
[[mwl:Lhéngua castelhana]]
[[nah:Caxtillāntlahtōlli]]
[[nds:Spaansche Spraak]]
[[nds:Spaansche Spraak]]
[[nds-nl:Spaans]]
[[nds-nl:Spaans]]

Pitio la 00:21, 9 Novemba 2011

Kihispania ("Español") ni lugha ya kimatifa ambacho ni lugha ya kwanza kwa milioni 500; kwa jumla pamoja na wasemaji wa Kihispania kama lugha ya pili kuna milioni 600 duniani wanaosema Kihispania.

Asili ya lugha ni katika nchi ya Hispania (Ulaya) lakini kutokana na historia ya ukoloni na biashara lugha imesambaa sana hasa Amerika ya Kusini.

Nchi zinazotumia Kihispania kama lugha rasmi

Amerika ya Kati na Karibi

Amerika ya Kusini

Afrika

Nchi penye wasemaji wengi wa Kihispania

  • Nchini Marekani Kihispania ni lugha ya pili baada ya Kiingereza hasa katika majimbo ya Kusini zilizikuwa zamani sehemu za Mexiko.
  • Ufilipino kwa sababu ilikuwa koloni ya Hispania

Historia ya lugha

Asili ya Kihispania ni lugha ya Kilatini ya Waroma wa Kale. Kati ya lugha za Kirumi Kishispania ni lugha ya kisasa ambayo ni karibu zaidi na lugha ya kale.

Viungo vya nje

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA