Kisotho-Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: af, br, de, eo, es, eu, fi, fr, id, it, ja, lt, mn, nah, nl, no, nov, pl, pms, pt, ru, sq, sv, tr, vi, xh, yo
d roboti Nyongeza: nso:Sepedi
Mstari 28: Mstari 28:
[[no:Nordsotho]]
[[no:Nordsotho]]
[[nov:Nordi Sutum]]
[[nov:Nordi Sutum]]
[[nso:Sepedi]]
[[pl:Język północny sotho]]
[[pl:Język północny sotho]]
[[pms:Lenga Sotho setentrional]]
[[pms:Lenga Sotho setentrional]]

Pitio la 01:04, 4 Novemba 2011

Kisotho-Kaskazini (pia Kisepedi) ni lugha ya Kibantu hasa nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Wasepedi. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisotho-Kaskazini nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu zaidi ya milioni nne. Pia kuna wasemaji 11,000 nchini Botswana. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisotho-Kaskazini kiko katika kundi la S30.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kisotho-Kaskazini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.