Kisotho-Kusini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: af, bg, br, da, de, eo, es, eu, fi, fr, hi, id, it, ja, ko, lij, lt, nah, nl, no, nov, pl, pms, pt, qu, ru, sq, st, sv, ta, tr, ug, uk, vi, xh, yo, zh, zu
d r2.6.3) (roboti Nyongeza: nso:Sesotho
Mstari 31: Mstari 31:
[[no:Sesotho]]
[[no:Sesotho]]
[[nov:Sutum]]
[[nov:Sutum]]
[[nso:Sesotho]]
[[pl:Język sotho]]
[[pl:Język sotho]]
[[pms:Lenga Sotho meridional]]
[[pms:Lenga Sotho meridional]]

Pitio la 17:24, 2 Novemba 2011

Kisotho-Kusini ni lugha ya Kibantu nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Wasotho. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisotho-Kusini nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu 4,240,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisotho-Kusini kiko katika kundi la S30.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kisotho-Kusini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.