Paul Simon : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
{{defaultsort}} na mabadilisho ya jamii
Mstari 3: Mstari 3:
Paul Simon alizaliwa tarehe [[13 Oktoba]], [[1941]] katika mji wa Newark Height, New Jersey. Huko alifahamika kama muimbaji na mtunzi mwenye asili ya kiyahudi. Aliwahi kufunga ndoa mara tatu, ana watoto wanne. Mmojawapo ni mpigaji gitaa kama baba yake.
Paul Simon alizaliwa tarehe [[13 Oktoba]], [[1941]] katika mji wa Newark Height, New Jersey. Huko alifahamika kama muimbaji na mtunzi mwenye asili ya kiyahudi. Aliwahi kufunga ndoa mara tatu, ana watoto wanne. Mmojawapo ni mpigaji gitaa kama baba yake.


{{mbegu}}
[[Category:Wanamuziki]]

{{DEFAULTSORT:Simon, Paul}}
[[Category:Waliozaliwa 1941]]
[[Category:Wanamuziki wa Marekani]]


[[cs:Paul Simon]]
[[cs:Paul Simon]]

Pitio la 07:48, 18 Agosti 2007

Paul Simon ni mwanamuziki wa country, anaimba na kupiga gitaa. Amewahi kushirikiana na wanamuziki wengi; moja ya makundi hayo ni Ladysmith Black Mambazo. Nyimbo alizowahi kuimba ni "Homeless", "Mother and child reunion" na "Diamond in the sole of her shoes".

Paul Simon alizaliwa tarehe 13 Oktoba, 1941 katika mji wa Newark Height, New Jersey. Huko alifahamika kama muimbaji na mtunzi mwenye asili ya kiyahudi. Aliwahi kufunga ndoa mara tatu, ana watoto wanne. Mmojawapo ni mpigaji gitaa kama baba yake.