Sikukuu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.5) (roboti Nyongeza: zh-yue:節慶
d r2.6.3) (roboti Nyongeza: sn:Mhemberero Badiliko: it:Giorno festivo
Mstari 69: Mstari 69:
[[id:Hari raya]]
[[id:Hari raya]]
[[is:Helgidagur]]
[[is:Helgidagur]]
[[it:Festa]]
[[it:Giorno festivo]]
[[ja:祝日]]
[[ja:祝日]]
[[ka:დღესასწაული]]
[[ka:დღესასწაული]]
Mstari 87: Mstari 87:
[[simple:Holiday]]
[[simple:Holiday]]
[[sk:Sviatok]]
[[sk:Sviatok]]
[[sn:Mhemberero]]
[[sq:Festa]]
[[sq:Festa]]
[[sv:Helgdag]]
[[sv:Helgdag]]

Pitio la 12:47, 29 Oktoba 2011

Sikukuu ni siku maalumu ya kukumbuka, kusheherekea au kufurahia jambo fulani.

Kuna sikukuu za binafsi na sikuu za umma. Sikukuu ya umma mara nyingi huwekwa wakfu kisheria maana yake si siku ya kazi bali ya mapumziko.

Kati ya sikuu za umma kuna sikukuu za kidini na sikukuu za kiserikali.

Kati ya sikukuu za binafsi kuna siku za kukumbuka matukio ya pekee kama tarehe ya kuzaliwa, kumbukumbu ya siku ya kufunga ndoa na mengine.

Sikukuu za kidini

Sikukuu za Ukristo

Sikukuu za Uislamu

Sikukuu za Kiislamu hufuata kalenda ya Kiislamu. Kwa hiyo tarehe za sikukuu hizi katika kalenda ya Gregori hubadilikabadilika.

Sikukuu za Uhindu

  • Diwali pia "Deepavali" - mwezi wa Oktoba au Novemba

Sikukuu za Serikali

Hutofautiana kati ya nchi na nchi lakini mara nyingi huwa na: