Gesi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.6.5) (roboti Nyongeza: sn:Mwando |
d r2.7.2) (roboti Badiliko: sn:Gasi |
||
Mstari 94: | Mstari 94: | ||
[[sk:Plyn]] |
[[sk:Plyn]] |
||
[[sl:Plin]] |
[[sl:Plin]] |
||
[[sn: |
[[sn:Gasi]] |
||
[[so:Hawo]] |
[[so:Hawo]] |
||
[[sr:Гас]] |
[[sr:Гас]] |
Pitio la 10:04, 28 Oktoba 2011
Gesi ni moja kati ya hali maada. Katika hali ya gesi atomi hazishikani pamoja kama gimba mango bali zaelea kwa mwendo huria.
Atomi na molekuli za gesi huelekea kusambaa na kukalia nafasi yote ambamo imewekwa. Gesi haina umbo wala mjao kamili. Inawezekana pia kukaza gesi kwa mfano ndani ya chombo na kupunguza mjao kwa njia hii.
Mjao wa gesi hutegemea halijoto na shindikizo. Kama halijoto inaongezeka na shindikizo haibadiliki mjao utaongezeka.
Elmenti na dutu nyingi zapatikana kwa hali ya gesi.